Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Enoch Osei-Safo (kushoto) akimkabidhi Mkazi wa Tegeta, Ipyana Mwakasaka, ufunguo wa gari jipya aina ya Hyundai Tucson ix35 aliloshinda katika promosheni ya Babkubwa. Gari hilo lenye thamani ya sh. mil. 60 alikabidhiwa katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam leo
Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Enoch Osei-Safo (wa pili kulia) akiwa katika mkutano na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kukabidhi zawadi hiyo ya gari. (Kutoka kushoto ni Mkuu wa Bidhaa na Masoko wa Ecobank., Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Joyce Malai na Ndabu Swere ambaye ni Head Public Sector.
Gari alilokabidhiwa Ipyana Mwakasaka linavyoonekana
Mwakasaka akiingia kwenye gari tayari kuliendesha
Mwakasaka akipigiwa makofi alipokuwa akiingia kwenye gari hilo la kifahari
Mwakasaka akijinoma kwenye gari hilo.
Mwakasaka akiwapungia kwa furaha baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na wageni waalikwa
Mwakasaka akihojiwa na wanahabari. (PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Mkurugenzi Mkuu wa Ecobank Tanzania, Enoch Osei-Safo (wa pili kulia) akiwa katika mkutano na waandishi wa habari muda mfupi kabla ya kukabidhi zawadi hiyo ya gari. (Kutoka kushoto ni Mkuu wa Bidhaa na Masoko wa Ecobank., Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Joyce Malai na Ndabu Swere ambaye ni Head Public Sector.
Gari alilokabidhiwa Ipyana Mwakasaka linavyoonekana
Mwakasaka akiingia kwenye gari tayari kuliendesha
Mwakasaka akipigiwa makofi alipokuwa akiingia kwenye gari hilo la kifahari
Mwakasaka akijinoma kwenye gari hilo.
Mwakasaka akiwapungia kwa furaha baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na wageni waalikwa
Mwakasaka akihojiwa na wanahabari. (PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Comments