OSCAR PISTORIUS AFIKISHWA MAHAKAMANI LEO
Pistorius
akiinamia chini kuhofia wapiga picha wakati akiwasili mahakamani
alikoshitakiwa kwa tuhuma za kumpiga risasi na kumuua mpenzi wake Reeva
Steenkamp.
Dada yake na
Oscar Pistorius, Aimee (kushoto) akiondoka katika Hospitali ya Mamelod,
huko Pretoria, ambako kaka yake alikuwa akipimwa akili kutokana na
maujai ya mpenzi wake.
Msemaji wa
Jeshi la Polisi, Denise Beukes akithibitisha mbele ya vyombo vya habari
juu ya kufikishwa mahakamani kwa mkimbiaji mahiri wa mbio za walemavu,
Pistorius anayekabiliwa na shitaka la kumpiga na kumuua mpenziwe Reeva
Steenkamp.
Baadhi ya
nguo za wafungwa katika Gereza la Pretoria Central zikiwa zimeanikwa
kwenye kamba nje ya gereza hilo ambalo Oscar Pistorius amesekwa rumande
kutokana na tuhuma za kumuuza mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Harakati
mbalimbali zimekuwa zikifanywa na wananchi na makampuni mbalimbali
nchini Afrika Kusini kuonesha kumuunga mkono shujaa wa nchi hiyo
anayekabiliwa na shitaka la kuua, Oscar Pistorius. Pichani moja ya
mabango yanayoonesha picha ya mkali huyo.
Oscar Pistorius akicheza na mbwa wake pembeni ya bwawa la kuogelea lililo ndani ya nyumba yake.
Oscar Pistorius akicheza na Chui wake anayemfuga katika jumba lake la kifahari.
Comments