PINDA AZINDUA RCC-SIMIYU
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mchungaji Aaron Malyuta wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Bariadi wakati alipozindua Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Simiyu (RCC) kwenye ukumbi wa KKKT mjini Bariadi Februari 19,2013. Katikati ni mkuu wa mkoa wa simiyu, Paschal mabiti.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wafanyabiashara katika eneo la
Mnada wa Bariadi wakti alipowatembelea Febuari 19, 2013. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na watoto yatima wa Shule ya
Msingi ya Tumaini inayomilikiwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Mjni
Bariadi Februari 19, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comments