PROFESA MILOVAN ATUA DAR NA KUMTIA MKONONI BABU MFARANSA ALIYECHUKUA 'UGALI WAKE' MSIMBAZI

Profesa Milovan baada ya kuibuka Taifa

Kocha aliyetimuliwa Simba SC, Profesa Milovan Cirkovick raia wa Serbia, jana aliibuka Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa kati ya Tanzania na Cameroon na kuteka hadhira.
Profesa Milovan aliwapungia mkono mashabiki wa Simba ambao walimjibu kwa shangwe zito.
baadaye Milovan, aliwasalimia baadhi ya wadau na kwenda kuketi kushuhudia mchezo huo. Wakati wa mapumziko, alikwenda kusalimiana na kocha aliyerithi nafasi yake, Mfaransa Patrick Liewig. Tabiri nini kinakuja, haswa katika wakati huu ambao Liewig ameingia kwenye mgogoro na wachezaji mafaza Simba SC?
Milo akiwaangalia mashabiki wa Simba

Milo amemtia mikononi Liewig

Milo kama Check Norris

Achana naye Babu Mikogo, mzee kijana

Anampa 'Hi' Babu Mfaransa 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*