RAIS KIBAKI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KISERIKALI YA SIKU MBILI
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimpokea na kumkaribisha Rais Mwai
Kibaki wa Kenya muda mfupi baaada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere kwa ziara ya kiserikali (State
Visit) ya siku mbili.
Rais Mwai kibaki wa Kenya akikaribishwa kwa
maua na Mwanafunzi Tazmina Rasul (6) muda mfupi baada ya kuwasili
nchini kwa ziara ya kiserikali (State Visit) ya siku mbili huku mwenyeji
wake Rais Dkt.Jakaya Kikwete akiangalia. Picha na Freddy Maro
Comments