RAIS KIKWETE AWEKA JIWE LA MSINGI UKARABATI NA UPANUZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIGOMA JIONI HII


Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuzindua mradi wa ukarabati na upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kigoma, katika hafla iliyofanyika jioni hii kwenye uwanja huo mjini Kigoma. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma, Dk. Amani Kaboruou na Waziri wa Ujenzi Dk. Harison Mwakyembe na Wanne kulia ni Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia Philipe Dongier. Kwa mujibu wa Dk. Mwakyembe mradi huo umepangwa kukamilika  June mwaka huu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI