SIMBA YAKATWA MKIA NA MTIBWA SUGAR, YAFUNGWA 1-0

 Kikosi cha Simba kilichoanza katika mchezo wa leo.
 Kikosi cha Mtibwa Sugar.
 Mshambuliaji wa Simba, Amri Kiemba akichuana na kiungo wa Mtibwa Sugar, Shaban Nditi.
Wachezaji wa akiba wa Simba wakiwa awaamini macho yao wakati jahazoi la timu hiyo likiwa linazama
Golikipa wa Mtibwa Sugar, Hussein Shariff akidaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Mtibwa imeshinda bao 1-0. 

 Waamuzi wa mchezo wa leo wakitoka uwanjani
Kocha wa Simba, Patrick Liewig akitoka uwanjani baada ya mchezo.Kwa hisani ya Habari Mseto Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*