*SKYLIGHT BAND ILIVYOPAGAWISHA VALENTINE DAY NEW MAISHA CLUB DAR

Kundi la Skylight Band likicheza sebene kwa style ya aina yake walipopiga show ya kukata shoka usiku wa sikukuu ya wapendanao Valentine day katika ukumbi wa Maisha Club.
Rappa Joniko Flower akiimba huku akishow love na familia ya Skylight Band katika usiku wa wapendanao uliofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club.
Mashabiki wapya wa Skylight Band wakishow love katika siku ya wapendao kwenye ukumbi wa New Maisha Club.
Wadada warembo wakijimwaga kwa raha zao kwenye ukumbi wa New Maisha Club.
Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kuwapa raha mashabiki wa Skylight Band kwenye show ya Valentines Day iliyofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club.
Bata likiendelea kulaki huku Skylight Band ikiporomosha burudani ya nguvu New Maisha Club.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA