Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu (Chadema), kulia, akizungumza na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) alipoahirisha Bunge, Dodoma leo, baada ya kutokea tafrani kabla ya kuanza kujadiliwa hoja binafsi ya Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) kuhusu tatizo la maji Mkoa wa Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema), na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema). (PICHA NA MWANAKOMBO JUMAA-MAELEZO)
Wabunge wa Kambi ya Upinzani wakiwa wamesimama bungeni wakati wa tafrani hiyo iliyosababisha bunge kuahirishwa kwabla ya muda wa kawaida
Wabunge wa Kambi ya Upinzani wakiwa wamesimama bungeni wakati wa tafrani hiyo iliyosababisha bunge kuahirishwa kwabla ya muda wa kawaida
Comments