TAIFA STARS WAKIWAPASHIA CAMEROON TAIFA

Mshambuliaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Mbwana Samatta, akiambaa na mpira kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa kwenye Uwanja huo.

Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Shaaban Nditi, akiambaa na mpira kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa kwenye Uwanja huo.

Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Frank Domayo, akiteleza na mpira kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa kwenye Uwanja huo.

Kiungo wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars Salum Abubakar, akiondoka na mpira kwenye mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni ya leo, kujiandaa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa zamani Afrika, Cameroon keshokutwa kwenye Uwanja huo.

Domayo akinyoosha viungo

Kevin Yondan akifurahia jambo wakati wa mazoezi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.