Aminou Bouba wa Cameroon (kulia), akijaribu kuudhibiti mpira huku akikabwa na Erasto Nyoni (4) wa Taifa Stars katika mchezo huo. Stars imeshinda bao 1-0 lililofungwa na mchezaji wa kimataifa Mbwana Samatta baada ya kupata pasi ya Erasto Nyoni katika dakika ya lala salama ya 89.
Mashabiki wa Taifa Stars wakifuatilia mchezo huo.
Mashabiki wa Taifa Stars wakifuatilia mchezo huo.
Dakika ya 89 Mbwana Samatta, ameipatia Taifa Stars bao akimalizia pasi ya Erasto Nyoni.
Taifa Stars ingepata magoli mengi katika mchezo huo, lakini Kutokuwa makini kwa wachezaji frank domayo na amri kiemba, kumeikosa
stars bao zuri baada ya kupiga mpira nyongo uliyopaa juu, ikiwa dakika ya 82 ya
mchezo.
Taifa Stars; Juma Kaseja,
erasto nyoni, shomary kapombe, kelvin yondani, agrrey morris,abubakar salum,
mrisho ngassa, frank domayo, mbwana samanta, mwinyi kazimoto na amri kiemba.
Cameroon effala komguep, assou ekottob, aminou bouba, nyom allan, pirre wome
nlend, kigue mpondo, bedimo herny, tchami herve, olinga fabrice,aboubakar
vincent, ngoula patrick. Mwisho
Mpaka mapumziko si stars wala cameroon iliyopata bao. Dakika ya 25 boubakary
vicent alipiga shuti hatari kwa Stars, But alipiga pembeni na kuikosesha cameroon
bao.
Dakika ya 27 Erasto Nyoni amekosa penati na kuinyima stars bao la kuongoza,
baada ya kupanguliwa na kipa wa cameroon. Dakika ya 9 Mwinyi Kazimoto alipiga
shuti lakini kipa cameroon akadaka.
Comments