Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless
Lema akibadilishana mawazo na Marehemu Thomas Lezer
Hapa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la
Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati Thomas Leizer,
katika siku za mwisho za uhai wake, akiwa chumba cha uangalizi maalum
(ICU). Pamoja naye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Freeman Mbowe na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless
Lema. Picha hii ilipigwa Jumapili ya wiki iliyopita, ambapo viongozi hao
walifika kumjulia hali kiongozi huyo wa kidini aliyefariki jana mchana,
baada ya kuugua kwa kuda mrefu na kulazwa katika Hospitali ya Selian
Hospital Arusha Centre.
Comments