Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Mr. Blue akielezea mbele ya wanahabari, Dar es Salaam leo, jinsi walivyojiandaa kushiriki ipasavyo katika tamasha babkubwa la Tigo la muziki wa kizazi kipya Februari 10 kwenye ufukwe wa Coco, Dar es Salaam
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Bukuku akitoa vionjo vya moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano huo
Meneja wa Bidhaa wa Tigo, William Manga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya shoo babkubwa ya Tigo ya wasanii wa kizazi kipya inalotarajiwa kufanyika Februari 10 mwaka huu, kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini. Kutoka kulia ni baadhi ya wasanii watakaoshiriki shoo hiyo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Chegge naye akielezea jinsi kikundi chake cha TMK Wanaume Family kilivyojiandaa
Maofisa wa Tigo wakiwa na baadhi ya wasanii watakaoshiriki katika shoo hiyo
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Bukuku akitoa vionjo vya moja ya nyimbo zake wakati wa mkutano huo
Meneja wa Bidhaa wa Tigo, William Manga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya shoo babkubwa ya Tigo ya wasanii wa kizazi kipya inalotarajiwa kufanyika Februari 10 mwaka huu, kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini. Kutoka kulia ni baadhi ya wasanii watakaoshiriki shoo hiyo. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Chegge naye akielezea jinsi kikundi chake cha TMK Wanaume Family kilivyojiandaa
Maofisa wa Tigo wakiwa na baadhi ya wasanii watakaoshiriki katika shoo hiyo
Comments