UNAFIKIRI NINI KITATOKEA KAMA MTUME MUHAMMAD (SAW) NA YESU KRISTU WATAKUTANA LIVE?



Nchini Tanzania dini kubwa ni Ukristo na Uislamu. Kila dini hufundisha wafuasi wake kuamini kwamba dini husika ndiyo sahihi na pekee itakayoweza kumfikisha mtu katika uzima wa milele au peponi. Je, ulishawahi kujiuliza kama itatokea nini Yesu Kristo a.k.a mwana wa Mungu akikutana live na Mtume wa Mungu a.k.a Allah, Muhammad (S.W.A) mitaa fulani ya Kkoo, ubungo au hata Manzese?  Watatwangana ngumi au kurushiana matusi kama vile fala, Mshenzi, pagani, kafri nk?

Kama unafikiri hivyo umepotea sana ndugu. Haya magwiji yakikutana yatacheeeeka sana, yatakumbatiana na kuwa na stori kibao za kazi wanayoifanya ya kukomboa roho zenu! watashangaa sana kuona wajinga mnabishana, kutukanana, kupigana na hata kuuana kisa wao! watawakemea vibaya sana na kuwaonya mwache uchizi ndugu! Hizo ndizo salam zandu kwenu wadau wa Mtandao huu. Kama kuna anayewaza tofauti anijulishe hapa hapa auwaemailhii:- jlkamala@gmail.com,  WENU Kamala J Lutatinisibwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.