Wadau wetu wa Fullshangweblog mtandao wetu hauko hewani toka jana kutokana na matatizo yaliyojitokeza wataalamu wetu wanafanya kila juhudi ili kutatua tatizo hilo kwa haraka iwezekanavyo tunawaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza wakati huu ambapo tunashughulikia tatizo hilo na wakati wowote tutarudi hewani 

Tunawaomba radhi pia wadau wetu benki za NMB, NBC, kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers, Bayport Financial, NHIF na Wilna International tunaomba uvumilivu wenu wakati tunashughulikia tatizo hilo.
By John Bukuku 
Mkurugenzi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI