WARSHA YA MAOFISA WA MNAZINGIRA WA MAJIJI YA MWANZA,MBEYA, ARUSHA NA TANGA KUKUZA UELEWA WA KUANDAA TAARIFA YA HALI YA MAZINGIRA

 Baadhi ya Maafisa Mazingira wa Majiji Wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais[pichani hayupo] alipokua anafungua Warsha ya Majiji kuhusu Kukuza Uelewa wa Kuandaa Tarifa ya Hali ya Mazingira ya Majiji iliiofanyika kwenye Hotel ya Giraffe Jijini Dar es Salaam.
 -Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. Sazi Salula akifungua Warsha ya Maafisa Mazingira wa Majiji  kuhusu kukuza uelewa wa kuandaa taarifa ya Hali ya Mazingira   kwa  Majiji ya Mwanza,Arusha, Mbeya na Tanga. Warsha hiyo iliyofanyika Giraffe Hotel, Dar es Salaam
 Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Sazi Salula akiwa katika Picha ya Pamoja na Washiriki wa Warsha ya Maafisa wa Mazingira wa Majiji ya Mwanza,Arusha,Tangana Mbeya Warsha imefanyika kwenye Hotel ya Giraffe Jijini Dar es Salaam.
DSC338 Katibu Mkuu Ofis ya Makamu wa Rais Sazi Salula akizungumza na Mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la Mazingia UNEP Bi Clara Makenya Mara baada ya Ufunguzi wa Warsha ya Maafisa wa Mazingira waMajiji.[Picha na Ali Meja]

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.