WAZIRI HUVISA TEREZYA ATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA SERENGETI
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akionyeshwa
Mfumo wa Maji Taka na Meneja Mazingira Bw. Dominick Mariki wakati
Waziri alipofanya Ziara ya Kutembelea Kiwanda cha Bia cha Serengeti
Breweriers cha Jijini Dar es Salaam kuangalia mazingira katika Mtaa wa
Chamwenyewe Chango’mbe jijini Dar es salaam.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa
akimsikiliza Bi. Mwaka Washokela kuhusu hali ya mazingira katika Kiwanda
cha Bia cha Seregeti Mtaa wa Chamwenyewe, Changmbe Jijini Dar es
Salaam.
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Terezya Huvisa akimsikiliza
Operesheni Meneja wa Kiwanda cha Bia cha Serengeti Shekhor Mokosare,
Waziri alifanya Ziara ya kukagua na kuangalia hali ya Mazingira
katika Kiwanda cha Bia cha Sereneti cha Jijini Dar es Salaam[Picha na
Ali Meja]
Comments