Baadhi ya wabunge wa Jamhuri ya Muungano wakielekea katika mkutano wa kumi kikao cha saba leo mjini Dodoma (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO).
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii na Jinsia ya Watoto Ummy Mwalimu akijibu hoja mbalimbali za Wizara yake Bungeni leo.
wanafunzi wa Shule ya Independence kutoka Dar es Salaam wakitambulishwa Bungeni leo.
Waziri wa Fedha William Mgimwa akijibu hoja ya Amina Mwindau (Viti Malumu-hayupo pichani) kuhusu Deni la taifa limekuwa likiongezeka kwa kasi kubwa mwaka hadi mwani, na kutaka kujua Je, serikali ina mikakati gani wa kukabiliana na deni hilo.(Picha na MAELEZO).
Mbunge wa Moshi Mjini Philemon Ndesamburo (kulia) na Christowaja Mtinda (Viti Maalumu) wakielekea katika ukunbi wa Bunge – Dododma leo (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO) |
wanafunzi wa Shule ya Independence kutoka Dar es Salaam wakitambulishwa Bungeni leo.
Comments