BAADA YA ZIARA YA KINANA MOROGORO
Waandishi wa habari na maofisa wa Chama, waliokuwa katika ziara ya siku
nane ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, mkoani Morogoro, wakiwa
na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye jana kwenye hoteli ya
Arc nje kidogo ya mji wa Morogoro kabla ya kurejea kwenye vituo vyao vya
kazi nje ya mkoa huo.
Baadhi ya waandishi wa habari, waliokuwa kwenye ziara ya Katibu Mkuu wa
CCM Abdulrahman Kinana mkoani Morogoro, wakipata chakula cha mchana
nyumbani kwa mwandishi mwenzao wa ITV na Radio One, Ida Moshi mjini
Morogoro
Comments