HATIMAYE LEMA AACHIWA NJE KWA DHAMANA ASEMA POPOTE MKUU WA MKOA ATAKAPO ONEKANA AZOMEWE


Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Godbless Lema akiwa na mbunge wa Arumeru Mashariki katika msafara mara baada ya mmbunge wa Arusha mjini aliyefikishwa mahakamani leo kwa kosa la kusababisha fujo na kumkashifu mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa mulongo  kuachiwa huru kwa dhamana

 Wabunge hao wakisindikiswa kwa msafara wa wafuasi wa chadema wakipita nje ya jengo la mkuu wa mkoa
 wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema wakiwa nje ya ofisi ya chama hicho mkoa zilizopo katika mtaa wa ngarenaro jijini Arusha
 Mbunge Joshua Nassari akiwa anaongea na waananchi katika uwanja wa shule ya msingi ngarenaro ambapo aliwasihi wananchi iwapo mkuu wa mkoa wa Arusha ata jirekebisha tabia yake basi kila watakapo muona wamzomee

 Lema akiongea na wananchi katika uwanja wa shule ya msingi ngarenaro
 Katibu wa chadema mkoa wa Arusha Amani Golugwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufika katika ofisi za chama mkoa ambapo alimtaka mkurugenzi aitishe uchaguzi wa udiwani katika kata ya sombetini
 Mbunge Joshua Nassari akiteta na waandishi wa habari
 picha juu na chini mbunge lema akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za chama mkoaPICHA ZOTE NA LIBENEKE LA KASKAZINI

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI