Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul 'Diamond' akiwapagawisha wananchi waliofurika katika mkutano wa CCM mjini Morogoro. Licha mvua kuendelea kunyesha wananchi hawakuondoka eneo hilo. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakiangalia shoo ya kukata na shoka ya Diamond huku wakiwa wamejifunika viti kujikinga na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha wakati wa mkutano wa CCM kwenye kiwanja cha ndege, mjini Morogoro.
Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya walizingira gari alilopanda Diamond baada ya kumalika kwa shoo yake.
Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya wakiangalia shoo ya kukata na shoka ya Diamond huku wakiwa wamejifunika viti kujikinga na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha wakati wa mkutano wa CCM kwenye kiwanja cha ndege, mjini Morogoro.
Wapenzi wa muziki wa kizazi kipya walizingira gari alilopanda Diamond baada ya kumalika kwa shoo yake.
Comments