Dk. Shein akutana na Balozi Mdogo china
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa China aneyeishi
Zanzibar,Bibi Chen Qiman,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Balozi Mdogo wa China aneyeishi
Zanzibar,Bibi Chen Qiman,(kushoto) mara baada ya mazungumzo yao
alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
Comments