*EXTRA BONGO ILIVYOPAGAWISHA USIKU WA IJUMAA KUU MANGO GARDEN

 Mwimbaji wa bendi ya Extra Bongo, Ramadhan Masanja 'Banza Stone', akiwaongoza wanenguaji wa kike wa bendi hiyo kushambulia jukwaa wakati wa onyesho la bendi hiyo lililofanyika usiku wa Ijumaa Kuu kwenye Ukumbi wa Mango Garden Kinondoni. 
 Mnenguaji wa Extra Bongo 'Kamanda F' (mbele) akiwaongoza wenzake kushambulia jukwaa wakati wa onyesho hilo.
 Maria Soloma (kulia) na mwenzake wakishambulia kwa pamoja.
 Rapa mahiri wa bendi hiyo, Kabatano, akighani moja ya rap zake mpya kuwachezesha wanenguaji wake.
 Kamarade Ally Choki (kushoto) akipozi kwa 'Snap' mbele ya kamera ya sufianimafoto, wakati wa mashambulizi hayo.
 Hussein Macheni, akiwatunza wanenguaji wa Extra Bongo baada ya kupagawishwa vilivyo na minenguo yao, 'Miuno Miuno'.......
 Wanenguaji wa kiume wa bendi hiyo, wakiongozwa na Super Nyamwela (katikati) nao wakishambulia jukwaa kwa pamoja.
Mashambulizi yanaendelea.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.