FM ACADEMIA YATAMBULISHA KINYWAJI CHA WINDHOEK NEW MSASANI CLUB WAKATI WA PASAKA SANJARI NA BURUDANI SAFI YA KUKATA NA SHOKA

Wadau mbalimbali wakiwa na kinywaji cha 
Windhoek kinachosambazwa na Kampuni ya 
Mabibo Beer and Wines Spirit wakati wa utambulisho 
wa kinywaji hicho katika Ukumbi wa New Msasani Club, 
ambapo ulikwenda sanjari na utambulisho wa nyimbo 
tatu mpya za  Bendi ya FM Academia kwa
 udhamini wa kampuni hiyo.
Mwanamuziki Katumbi Jezas akipagawisha
 mashabiki wakati wa onesho la bendi hiyo lililokwenda 
sanjari na utambulisho wa kinywaji cha Windhoek.
Wanenguaji wa bendi hiyo wakiwajibika jukwaani.
Wanenguaji wa bendi hiyo wakiwajibika jukwaani.
Hapa anaonesha umahiri wa kuyarudi mangoma.
Wanaendelea kulisakama jukwaa. 
(Picha habari na habari za jamii blog)
Mnenguaji Suzy Crazy  akiserebuka mbele ya 
mashabiki waliofurika katika ukumbi huo kushuhudia
 utambulisho wa kinywaji hicho sanjari na nyimbo 
mpya tatu za bendi hiyo ya 
FM Academia.
Wacheza shoo wa bemdi hiyo wakitoa burudani safi kwa 
mashabiki.




Wapenzi wa muziki wakiwa wamejimwaga kuserebuka 
kutokana na midundo ya bendi hiyo inayo dhaminiwa na 
Kampuni ya Mabibo Beer and Wines Spirit kupitia 
kinywa cha Windhoek.
Wanenguaji wakiendelea kulisakama jukwaa.
Wanenguaji wakiendelea kulisakama jukwaa.
Wanenguaji wakiendelea kulisakama jukwaa.


Wanenguaji wakiendelea kulisakama jukwaa.
Wanenguaji wakiendelea kulisakama jukwaa.
Wadau mbalimbali wakitumia kinywaji cha Windhoek 
ambacho kimekubalika kutokana na kutokuwa na 
kilevi hivyo kutumiwa na watu mbalimbali. Kulia ni 
Msemaji wa Kampuni ya Mabibo Beer and 
Wines Spirit, Julius Mapunda 'MC Jobiso'
Wadau mbalimbali wakitumia kinywaji cha Windhoek 
ambacho kinasambazwa na Kampuni ya 
Mabibo Beer and Wines Spirit.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.