Mshindi wa Promosheni ya Tigo smartcard Herriet Makulukulu mkazi wa Mbezi Beach akipokea Meneja Chapa ya Tigo, William Mpinga.mfano wa tiketi ya kwenda kushuhudia mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kati ya Arsenal Fc na Manchester United litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu kwenye Uwanja wa Emirate. Hafla hiyo fupi ilifanyika Dar es Salaam juzi. (NAZ MPIGAPICHA WETU)
Mshindi wa Promosheni ya Tigo smartcard Herriet Makulukulu mkazi wa Mbezi Beach akipokea Meneja Chapa ya Tigo, William Mpinga.mfano wa tiketi ya kwenda kushuhudia mechi ya Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kati ya Arsenal Fc na Manchester United litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu kwenye Uwanja wa Emirate. Hafla hiyo fupi ilifanyika Dar es Salaam juzi. (NAZ MPIGAPICHA WETU)
Comments