KAMANDA MWAIKENDA USO KWA USO NA WASANII MAHIRI WA MUZIKI WA INJILI MAKHABANE WA AFRIKA KUSINI NA SEKERETI WA ZAMBIA
Mkurugenzi wa Blog hii ya Kamanda wa Matukio, Kamanda Richard Mwaikenda (katikati) akiwa na wasanii mahiri wa muziki wa Injili, Sipho Makhabane (kulia) wa Afrika Kusini pamoja na Ephraem Sekereti walioshiriki Tamasha la Pasaka kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi. Mwaikenda pia ni Mpiga Picha Mkuu wa magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti, Dar Metro na jarida la Jambo Brand Tanzania.
Comments