Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati) ana Katibu wa NEC-CCM Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (wa nna kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wanachama wa CCM kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe walioshiriki kwenye mkutano wa ndani wa chama hicho uliofanyika Turiani, wilayani Mvomero, Morogoro.
Katibu Mkuu wa CCM ,Abdulrahman Kinana (wa pili kulia) akizungumza na wanafunzi wanachama wa CCM kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe walioshiriki kwenye mkutano wa ndani wa chama hicho uliofanyika Turiani, wilayani Mvomero, Morogoro.PICHA NA RICHARD MWAIKENDA
Comments