KINANA AUVALIA NJUGA MGOGORO WA KIWANDA CHA SUKARI CHA MTIBWA NA WAKULIMA WA MIWA

 Sehemu ya wakulima wa miwa, wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa na wanachama wa CCM, wakiwa katika mkutano ulioitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kutafuta njia ya kusulhisha mgogoro kati ya kiwanda hicho na wakulima wa miwa pamoja na wafanyakaziwa kiwanda hicho leo Turiani, wilayani Mvomero, Morogoro.
 Mmoja wa wakulima wa zao la miwa akelezea jinsi wanvyonyanyaswa kna uongozi wa kiwanda cha Sukari cha Mtibwa kwa kutolipwa kwa wakarti malipo yao
Baadhi ya washiriki wakinyoosha mikono ili waweze kuelezea kiini cha mgogoro huo
 Mwenyekiti wa Umoja wa Wakulima wa Miwa Khadija Kondo, akielezea matatizo wanayopata wanapopeleka miwa kiwandani.
 Mkurugenzi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, Hamad Yahya akijibu hoja mbalimbali zilizotolewa na washiriki wa kikao hicho kuhusy tuhuma mbalimbali zilizoelezwa kwaao,, ambazo ni wakulima kupunjwa bei, kutolipwa malipo yao kwa wakati.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana,akizungumza katika mkutano huo na kuwataka wawakilishi wa kila kundi linalohusika kwenye mgogoro huo akutane nao Jumatatu mjini Morogoro ili wakae kikao cha kutafuta suluhu ya kudumu ya mgogoro huo
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, Nassoro Seif 9kulia0 akiwa katika mkutano huo.
Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana (kulia), akisalimiana na Mkurugenzi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa, Nassoro Seif baada ya kumalizika kwa kikao hicho. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI