KIPA KIBOKO YA MESSI APATIKANA JAPAN, ACHEZA PENALTI MBILI ZA MUARGENTINA HUYO KATI YA TATU
LABDA hii inaweza kuwa njia pekee ya kumdhibiti Lionel Messi asifunge mabao - kwa kumuwekea kipa Robot la Kijapani.Messi sasa anaitwa 'Mtambo wa kuua', baada ya kufunga mabao 57 msimu huu.
Amewaacha makocha wa La Liga na Ulaya yote wanaumiza vichwa vyao juu ya namna ya kumdhibiti mshambuliaji huyo wa Kiargentina.
Nenda katazame video chini kabisa
Man v machine: Messi prepares to step up against the robot
Mtu VS mashine: Messi akijiandaa kupiga mpira dhidi ya kipa Robot
Not spot on: Messi steps up for his penalty (above) and sees his spot-kick saved (below)
Anakwenda: Messi anajivuta kupiga penalti (juu) na angalia mkwaju wake unavyookolewa (chini)
Messi pen:
Lakini mpachika mabao huyo wa Barcelona, ambaye mbele ya wengi anapewa heshima ya mchezaji bora zaidi daima kuwahi kutokea duniani, alichemsha wakati akipambana na mashine hiyo katika mchezo ulioonyeshwa na Televisheni ya Japan.Messi alipiga penalti tatu dhidi ya Robot hilo, lakini akakosa mbili za kwanza.

 VIDEO   Messi akipigiana penalti na Robot

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU