MASHUJAA BAND NA KHANGA MOJA WAFUNIKA USIKU WA IJUMAA KUU

 Kiongozi wa bendi ya Mashujaa, Chalz Baba (wa pili kushoto) akiwaongoza waimbaji wa bendi hiyo kushambulia jukwaa wakati wa onyesho lililofanyika kwa pamoja na kundi la Khanga Moja, katika ukumbi wa Green Acrers uliopo Victoria jijini Dar es Salaam, usiku wa Ijumaa Kuu.
 Rapa wa bendi ya Mashujaa, Saulo John 'Fagason', akirap na kumchezesha mmoja wa wasanii wa kundi la Khanga moja, wakati walipofanya shoo ya pamoja kwenye Ukumbi wa Green Acres, Victoria usiku wa Ijumaa Kuu na kuwapagawisha vilivyo mashabiki wa bendi hiyo.
 Mnenguaji wa kundi la Khanga moja akionyesha umahiri wake wa 'Miuno Miuno, jukwaani
 Wanenguaji wa bendi hiyo ya Mashujaa, wakishambulia jukwaa wakaati wa onyesho hilo.
Mashambulizi yanaendelea jukwaani.....

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.