Barcelona, Hispania
Mabao ya Lionel Messi na David Villa yalitosha kuipa Barcelona ushindi mnono wa 4-0 na kuibwaga AC Milan kwa jumla ya mabao 4-2 kwenye Uwanja Camp Nou.
Mabao ya Lionel Messi na David Villa yalitosha kuipa Barcelona ushindi mnono wa 4-0 na kuibwaga AC Milan kwa jumla ya mabao 4-2 kwenye Uwanja Camp Nou.
Kwa ushindi huo Barca imeungana na Juventus, Real Madrid na
Galatasaray iliyolazimisha sare 2-2 na Schalke 04 kwenye Uwanja Auf Schalke na kusonga mbele kwa sheria ya bao la ugenini baada ya mchezo wa kwanza kumalizika kwa sare 1-1 hivyo kufuzu kuingia robo fainali.
Galatasaray iliyolazimisha sare 2-2 na Schalke 04 kwenye Uwanja Auf Schalke na kusonga mbele kwa sheria ya bao la ugenini baada ya mchezo wa kwanza kumalizika kwa sare 1-1 hivyo kufuzu kuingia robo fainali.
Messi ameendeleza rekodi yake kwa kufunga mechi 18
mfululizo, baada ya kuifungia Barca katika dakika 5 na 40, kabla ya
Villa na Jordi Alba kupachika mabao mengine mawili.
Washambuliaji wa Milan, Stephan El Shaarawy na
M'Baye Niang walipoteza nafasi kadhaa za kufunga katika mchezo huo na
kuinyima timu mabao.
Comments