NDEGE YAANGUKA ARUSHA NA KUUA RUBANI
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba ndege iliyokuwa inamilikiwa na Wakili maarufu Marehemu Nyaga Mawala aliyefariki wiki 3 zilizopita na kuzikwa huko Nairobi imeanguka ikiwa katika hatua za mwisho za kutua (final approach) katika kiwanja cha ndege cha Arusha.
Taarifa
zinasema kuwa ndege hiyo ilikuwa na rubani peke yake anayejulikana kwa
jina la Jamal B S, au maarufu kama Bob Sambeke aliyekuwa anatokea West
Kilimanjaro.
Maelezo
zaidi kuhusu ajali hiyo ni kwamba ndege hiyo ilijaribu kutua baada ya
masaa ya kawaida ya kufunga kiwanja(saa 12.30jioni) kupita.
UPDATE:
Comments