NI BARCA NA BAYERN, REAL NA BORRUSSIA DORTMUND


DROO YA NUSU FAINALI 

Bayern Munich v Barcelona 
Borussia Dortmund v Real Madrid
Bayern itamenyana na Barcelona Aprili 23 na Mei 1, wakati Dortmund na Real zitakutana April 24 na 30.
*Timu zilizopangwa kushoto katika ratiba zitacheza mechi ya kwanza nyumbani
SOMA RATIBA KAMILI YA NUSU FAINALI HAPA
KUNA nafasi ya mechi ya Clasico kupigwa Wembley kwa ajili ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kutokana na Real Madrid na Barcelona kutenganishwa katika mechi za Nusu Fainali za michuano hiyo.
Jose Mourinho na kikosi chake cha Real kimepangwa na Borussia Dortmund, wakati Barcelona itamenyana na Bayern Munich, maana yake ni viya ya Waspanyola na Wajerumani kuwania safari ya Wembley Mei 25.
Dortmund ni timu pekee iliyobaki kwenye michuano hii ambayo haijapoteza mechi hadi sasa na itakutana na Real kwa mara ya pili msimu huu katika mashindano haya. Mabingwa hao wateteri wa Bundesliga, walikuwa vinara wa kundi la kifo, lililoihusisha Real, Manchester City na Ajax.
On course: Jose Mourinho's Real Madrid could take the Champions League crown at Wembley
Barabarani: Jose Mourinho anaweza kuifikisha Real Madrid Wembley katika fainali ya Ligi ya Mabingwa?

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI