NMB YAFUNGUA TAWI BUZURUGA

BUZURUGA 
NMB inaendelea kupanua mtandao wake wa matawi na kusogeza huduma za kibenki karibu na wateja wake.
Sasa NMB imekuwa karibu na wateja wa eneo la buzuruga kwa kufungua tawi eneo la Buzuruga Mwanza katika jengo la Buzuruga Plaza lililopo karibu na kituo cha mabasi cha Buzuruga.
NMB inaendelea kuwa kinara katika ubunifu Tanzania kwa kuanzisha huduma nyingi za kibenki. Hivi karibuni imeungana na Vodacom ili kuwarahisishia wateja kupata huduma za kibenki kwa urahisi. Sasa wateja wanaweza kuweka na kutoa fedha kwenye akaunti ya NMB kutokea M-Pesa. Huduma hii ni ya haraka, salama, unaitumai popote ulipo na wakati wowote.  
Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana  na:
NMB Buzuruga;
S.L.P 1450
Mwanza
Simu: 028 2570483
           : 028 2570482
IMG-20130410-00783

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.