Safari Lager kusherehekea ubingwa wa bia bora afrika na wabunge mjini Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL),Robin Goetzsche (wa tatu kushoto) akikabidhi Kombe la
Ushindi wa Bia Bora Barani Afrika ulioupata Bia ya Safari Lager kwa
Ujumbe wa Kampuni hiyo unaelekea Bungeni Mjini Dodoma wa kupata baraka
za waheshimiwa Wabunge na kuzindua rasmi wa ziara ya kupeleka kombe
hilo katika mikoa mbalimbali hapa nchini.Pichani toka Kushoto ni
Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania,Phocas Laswai
(kushoto),Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (pili
kushoto),Mkurugenzi wa Masoko,Kushillla Thomas,Mkurugenzi wa Uhusiano na
Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania
(TBL), Steve Kilindo (pili kulia) pamoja na Meneja Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
(TBL), Steve Kilindo (pili kulia) pamoja na Meneja Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
Ujumbe wa kampuni ya Bia Tanzania uliokabidhiwa kombe hilo kwaajili ya
kupeleka Bungeni Mjini Dodoma,Ukiongozwa na Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania,Phocas Laswai (kushoto),Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (pili kushoto),Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (pili kulia) pamoja na Meneja Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
kupeleka Bungeni Mjini Dodoma,Ukiongozwa na Mkurugenzi wa Miradi Maalum wa Kampuni ya Bia Tanzania,Phocas Laswai (kushoto),Mpishi Mkuu wa Bia za TBL,Gaudence Mkolwe (pili kushoto),Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (pili kulia) pamoja na Meneja Bia ya Safari Lager,Oscar Shelukindo.
Comments