Mashabiki wa Simba wakiwa wachache kwenye jukwaa lao wakifuatilia mchezo wa Ligi
Kuu ya Vodacom kati ya timu yao hiyo na Polisi Morogoro, Uwanja wa Taifa, Dar es
Salaam jana. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mrisho Ngassa (kushoto) wa Simba, akijaribu kumpiga chenga Rogers Gabliel wa Polisi Morogoro wakati timu hizo zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Mrisho Ngassa (kushoto) wa Simba, akijaribu kumpiga chenga Rogers Gabliel wa Polisi Morogoro wakati timu hizo zilipopambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Comments