TAMASHA LA JUMATATU YA PASAKA MBEYA LAFANA NA DR.MARY MWANJELWA MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA AMBAYE PIA NI M-NEC TAIFA ATOA SHILINGI MILIONI 8 KUSAIDIA UJENZI WA KITUO CHA WATOTO YATIMA

Mweshimiwa Dk Mary Mwanjelwa  Mbunge wa viti maalumu mkoa wa Mbeya akizindua tamasha la jumatatu ya pasaka lililofanyika katika uwanja wa Sokoine jijini Mbeya
Mwenyekiti wa Kamati Maalumu inayoratibu tamasha la pasaka la kimataifa, Alex Msama akiwashukuru wakazi wa mbeya kujitokeza kwa wingi katika tamasha hilo lililofanyika katika uwanja wa Sokoine Mbeya
Mwenyekiti wa Kamati Maalumu inayoratibu tamasha la pasaka la kimataifa, Alex Msama akipokea msaada wa pesa shilingi milioni 8 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha watoto yatima toka kwa Mweshimiwa mbunge viti maalumu mkoa wa Mbeya Dk Mary Mwanjelwa 
Baadhi ya viongozi mbali mbali wa dini na serikali walihudhuria tamasha hilo
Mwimbaji wa nyimbo za injili, Solomon Mukubwa akiwatumbuiza wakazi wa Mbeya  
Waimbaji Wa Christ Ambassadors kutoka Rwanda wakiimba kwa furaha katika tamasha hilo
Hakika simu zenye kamera zilipata ndiyo zilizoongoza wanjani hapo kuchukua matukio yote

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*