Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Wazee na Wananchi alipowasili Skuli ya Kusini
Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja jana, kuifungua Nyumba ya
Walimu,iliyojengwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,kwa
ushirikiano na Jumuiya ya Bus 4 Afrika,ya nchini Sweden
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akikata utepe kuifungua Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini
Makunduchi jana, iliyojengwa na Jumuiya ya ya Maendeleo ya Makunduchi
Mzuri kaja,kwa ushirikiano na Jumuiya ya Bus 4 Afrika,yenye Makao Makuu
yake nchini Sweden
Katibu wa Jumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja, Maalim Rashid
Makame Shamsi, akisoma risala ya wanajumuiya wakati wa sherehe ya
Ufunguzi wa Nyumba ya Walimu,Skuli ya Kusini Makunduchi Wilaya ya Kusini
Unguja iliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
Mwakilishi wa Jumuiya ya Bus 4 Afrika yenye Makao Makuu yake Nchini
Sweden Bibi Hannah Mc Carrick,akitoa salam wakati wa Sherehe ya Ufunguzi
wa Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini Makunduchi,iliyojengwa na Jumuiya
hiyo na Ushirikiano wa Jumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,
iliyofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akizungumza na Wananchi na Wanajumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi
Mzuri kaja,Wilaya ya Kusini Unguja, wakati wa Sherehe ya Ufunguzi wa
Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini Makunduchi, iliyojengwa na Jumuiya ya
ya Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,kwa ushirikiano na Jumuiya ya Bus 4
Afrika ya Sweden,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Ali Juma Shamuhuna,akimkaribisha
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,kuzungumza na Wananchi na Wanajumuiya ya Maendeleo ya Makunduchi
Mzuri kaja,Wilaya ya Kusini Unguja, wakati wa Sherehe ya Ufunguzi wa
Nyumba ya Walimu Skuli ya Kusini Makunduchi,
Viongozi mbali mbali waliohudhuria katika sherehe ya Ufunguzi wa Nyumba
ya Walimu,Skuli ya Kusini Makunduchi iliyojengwa na Jumuiya ya ya
Maendeleo ya Makunduchi Mzuri kaja,kwa ushirikiano na Jumuiya ya Bus 4
Afrika,ya nchini Sweden,wakifuatilia kwa makini harakati za sherehe hiyo
ilivyoendelea katika viwanja vya skuli hiyo jana.Picha na Ramadhan Othman, IKULU-Zanzibar
Comments