Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Mbunge wa Iramba magharibi, Mwigulu Lameck Nchemba  kutoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma leo Aprili 9, 2013.
Waziri Mlkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Viti Maalum, Mkiwa Adam Kimwanga kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 9, 2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
--
Wabunge wa bunge la Tanzania leo hii wanakutana mjini Dodoma katika kikao cha bunge mkutano wa  11 mkutano ambao ni mahsusi kwa kujadili bajeti ya serikali.

Akizungumzia kikao hichi Naibu spika wa Bunge la Tanzania Mh. Job Ndugai amesema kwa kawaida katika bunge la miaka mitano huwa linakuwa na mikutano 20 na huu mkutano wa 11 utajadili bajeti ya serikali na matumizi ya rasilimali za nchi namna zitakavyo gawanywa kwa manufaa ya watanzania.

Amesema mkutano huo utafanyika mwezi wote wa nne, wa tano na wa sita.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI