Mmoja wa wanachama wapya wa Tawi la Yanga la Mtaa wa Samora, Dar es Salaam akikabidhiwa kadi ya uanachama katika hafla iliyofanyika jioni hii NBC Club.Picha zinazofuata ni wanachama wa tawi hilo wakikabidhiwa kadi zao.
Wanachama wa Tawi jipya la Yanga la Mtaa wa Samora wakionesha kadi zao walizokabidhiwa katika hafla iliyofanyika jioni ya leo NBC Club, Dar es Salaam. Waliokaa mstari wa mbele kutoka kulia ni; Mwenyekiti wa tawi hilo, Said Mzuzuri, Katibu Mkuu, Abdalah Mnaleke na Francis Gato ambaye ni mweka hazina wa tawi hilo. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments