WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA MKWAWA WAPEWA MAFUNZO YA KUZIMA MOTO


Askari wa Kikosi cha Zimamoto mkoani Iringa akionyesha namna ya kuzima moto kwa wanafunzi wa chuo kikuu cha Mkwawa,wakati wa mafunzo ya tahadhari ya moto na jinsi ya kujikinga na moto pamoja na mbinu za uzimajimoto,yaliyofanyika Chuoni hapo.
Mmoja wa wanafunzi wa chuo kikuu cha Mkwawa akifanya mazoezi ya uzimaji moto wakati wakufunga mafunzo hayo.Picha na Francis Godwin.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.