AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MAALUMU KWA WATEJA WAKE IJULIKANAYO KAMA AIRTEL PREMIUM
Mkurugenzi mkuu wa Airtel Sunil Colaso akimzawadia bi Rose Maina mmoja
wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya kwa wateja ijulikanayo kama
Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel jijini Dar Es Salaam
akifuatiwa na Mkurugenzi wa huduma kwa wateja bi Adriana Lyamba.
Mteja wa Airtel bw. Picket Robert Miranda (kushoto) akiongea na
mkurugenzi wa huduma kwa wateja Adriana Lyamba (kulia) na Meneja wa
huduma kwa wateja Hilda Nakajumo (katikati) katika uzinduzi wa huduma
mpya ya wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za
Airtel jijini Dar Es Salaam.
Mkurugenzi wa huduma kwa wateja wa Airtel Adriana Lyamba akimzawadia
bw. Abdual Salum mmoja wa wateja katika uzinduzi wa huduma mpya ya
wateja ijulikanayo kama Airtel Premier Services katika ofisi za Airtel
jijini Dar Es Salaam, akishuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Sunil
Colaso.
Comments