Akudo impact yawakuna wakazi wa jiji la Arusha

 Wanenguaji wa bendi ya Akudo wakifanya vitu vyao ndani ya ukumbi wa world  garden.
 warembo walikua kibao waliokuja kucheki shoo ya Akudo
 Kamafa wa Radio 5 nae alikuwepo katika shoo hiyo.
 hii meza ilikuwa imetawaliwa na kinywaji cha K-vant iliongozwa na meneja wa kanda wa kinywaji hicho Godluck
 Watangazaji wa Radio 5 107:5 fm Arusha wa kwanza kulia ni Deo  G katikati mdada wa libeneke pamoja na mkaka Matungilo wakisakata rumba
 watu waliyarudi balaa yote haya ni chini ya uthamini kampuni ya Tan Media Comunication kupitia kituo chao kikubwa cha   Radio ya watu Radio 5 Arusha.


 Full mzuka kampani nzima ya Radio 5 ikiongozwa na kamafa
 Mwanadada Ashura Muhamedi Alikuwepo kwenye shoo hiyo
 Ulikua ukiingia tu unakutana na meza iliyopendeza vinywaji vya k-vant gin

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI