Akudo impact yawakuna wakazi wa jiji la Arusha
Wanenguaji wa bendi ya Akudo
wakifanya vitu vyao ndani ya ukumbi wa world
garden.
warembo walikua kibao waliokuja
kucheki shoo ya Akudo
Kamafa wa Radio 5 nae alikuwepo
katika shoo hiyo.
hii meza ilikuwa imetawaliwa na
kinywaji cha K-vant iliongozwa na meneja wa kanda wa kinywaji hicho
Godluck
Watangazaji wa Radio 5 107:5 fm
Arusha wa kwanza kulia ni Deo G katikati mdada wa libeneke
pamoja na mkaka Matungilo wakisakata rumba
watu waliyarudi balaa yote haya
ni chini ya uthamini kampuni ya Tan Media Comunication kupitia kituo
chao kikubwa cha Radio ya watu Radio 5
Arusha.
Full mzuka kampani nzima ya
Radio 5 ikiongozwa na kamafa
Mwanadada Ashura Muhamedi
Alikuwepo kwenye shoo hiyo
Ulikua ukiingia tu unakutana na
meza iliyopendeza vinywaji vya k-vant gin
Comments