BENKI YA NMB YATOA MSAADA WA MILIONI 10 KWA WAHANGA WA BOMU ARUSHA
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh. Milioni
10 kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara za Serikali NMB,
Domina Feruzi kwa ajili ya wahanga wa bomu lililotokea hivi karibuni
katika Kanisa la Mtakatifu Joseph ikiwa ni msaada wa benki ya NMB.
Waziri
Mkuu Mizengo Pinda akimshukuru Meneja Mwandamizi wa Masoko na Chapa
NMB Rahma Mwapachu baada ya kupokea mfano wa hundi yenye thamani ya sh.
Milioni 10 kutoka NMB kama msaada kwa wahanga wa bomu Arusha.
Comments