BREAKING NEWS: WACHINA WAANZA KUIKIMBIA BAADA YA VURUGU MJINI MTWARA.
Picha ya raia wa jamhuri ya watu wa China na raia wa Tanzania iliyopigwa hivi karibuni mkoani Mtwara.
VURUGU
zilizotokea mkoani Mtwara hivi karibuni inasemekana kuwa baadhi ya
wachina wanaofanya biashara ndogongo pamoja na wale wanaofanya kazi
kwenye makampuni ya kuchimba gesi
wameanza kuondoka katika mji huo.
Habari zilizotufikia hivi punde katika www.jumamtanda.blogspot.com zilieza kuwa baadhi ya ofizi, maduka za raia hao wa jamhuri ya China zinasemekana zimeharibiwa katika vurugu hizo na hakuna
hata mmoja anayeonekana katika maeneo ya ofisi hizo.
"Hatujui
wamekimbilia wapi kwa maana hata kwenye
makazi yao hawapo ila wengine walionekana wamejazana kwenye gari aina
ya Landcruiser wakielekea njia ya kurudi jijini Dar es Salaam". Kilisema
chanzo chetu.
Aidha
mtandao huu bado unaendelea na uchunguzi wa kujua ukweli wa hali hiyo
ambapo hivi sasa serikali ilifanikiwa kutulinza vuguru hizo kwa
mafanikio na kuleta hali ya amani ambayo ilitoweka Mei hivi karibu
kuhusu wananchi wa Mtwara kupingaa hatua ya serikali kusafirisha gesi
kwenda jijini Dar es Salaam.
Comments