CCM YAFUNIKA MKUTANO WA LUDEWA,NJOMBE .
1. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya
wananchi katika mkutano wa hadhara wa CCM, kwenye Uwanja wa mpira mjini
Ludewa mkoni Njombe, leo May 28, 2013. Kinana ambaye yupo katika ziara
ya siku saba, kukagua utekelezaji wa ilani ya chama na kuzungumza na
wananchi mkoani Njombe, amefuatana na Katiobu wa NEC, Itikadi na Uenezi,
Nape Nnauye. (Picha na Bashir Nkoromo)
2. Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano
wa hadhara wa CCM uliofanyika Mei 28, 2013 katika Uwanja wa mpira mjini
Ludewa mkoani Njombe. (Picha na Bashir Nkoromo).
Comments