CCM YAKASIRISHWA ULIPUAJI BOMU KANISANI ARUSHA
*YATAKA WAL IOHUSIKA WAPATIKANE NA KUPEWA ADHABU KALI YA MFANODODOMA Tanzania
CCM imeelezea kustushwa na tukio la kigaidi lililotoke kwakulipuliwa bomu wakati wa uzinduzi wa kanisa jijini Arusha jana.
Katika tamko lilitolwa na katibu mkuu wa CCM Abdulrahmani Kinana leo mjiniDodoma amesema ni lazima na an uhakika kwwamba serikali itatumia ujuzi na uwezo wake woe kuhakikisha waliohusika woote wanatiwa nguvuni na kup ewa adhabu kali ambayo itakuwa mfano kwa yeyote au kikundi chenye lengo la kutenda ugaidi kaka huo
Comments