DARAJANI HAKATIZI MTU SALAMA, CHELSEA YAIBOMOA 3-1 BASLE NA KUTINGA FAINALI ULAYA...TORRES MOTO UMERUDI, LUIZ, VICTOR NI NOMA!


CHELSEA imefanikiwa kutinga fainali ya Europa League baada ya kuifunga mabao 3-1 FC Basle ya Usiwsi usiku huu kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.
Mabao ya Chelsea katika mchezo huo yalifungwa na Fernando Torres dakika ya 50, Victor Moses dakika ya 52 na David Luiz dakika ya 59, wakati la kufutia machozi la Basle lilifungwa na Salah dakika ya 45,
Chelsea imetinga fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-2, baada ya awali kushinda ugenini 2-1 na sasa itamenyana na Benfica ya Ureno katika fainali, ambayo usiku huu imeifunga Fenerbahce mabao 3-1 hivyo kufuzu kwa jumla ya ushindi wa mabao 3-2.
Katika mchezo wa leo, kikosi cha Chelsea kilikuwa;Cech, Azpilicueta, Ivanovic, Cahill, Bertrand, Lampard, Luiz/Ake dk81, Ramires/Oscar dk66, Hazard/Mata dk75, Moses, Torres.
Basle: Sommer, Steinhofer, Schar, Sauro, Voser, El-Nenny, Frei/Diaz dk62, Die, Salah, Streller/Zoua dk75, Stocker/David Degen dk62.    
Thunderbolt: David Luiz lets fly from distance to hit a world-class goal which capped Chelsea's night
Kitu hicho: David Luiz akifunga kwa shuti la mbali
Letting fly: Luiz
David Luiz
Mobbed: David Luiz is bundled by team-mates
Shangwe: Luiz akipongezwa na wenzake
David Luiz
David Luiz
No mistake: Victor Moses fired past a stranded Yann Sommer to give Chelsea a 2-1 lead on the night
Hakuna kukosea: Victor Moses akifunga
Victor Moses
Victor Moses
Slide rule: Fernando Torres struck his fifth goal in eight matches - and his tenth of this Europa League campaign
Mtelezo wa bao: Fernando Torres akifunga bao lake la tano katika mechi nane na la 10 katika Europa League msimu huu
Slide rule: Fernando Torres struck his fifth goal in eight matches - and his tenth of this Europa League campaign

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI