Dk Ferdinand Masau Wa Taasisi ya Moyo Tanzania (Tanzania Heart Institute (THI) Afariki Dunia
Dk. Masau enzi za uhai wake. |
Kwa
mujibu wa taarifa zilizopatikana katika chumba cha habari cha daily
Mitikasi Blog zinadai kuwa Muasisi wa taasisi ya Moyo Tanzania (Tanzania
Heart Institute-THI), Dk. Ferdinand Masau amefariki dunia jana katika
hospitali ya Agha Khan.
Tanzania Heart Institute (THI) ya Dkt. Masau enzi hizo |
Comments