iki →
Mara nyingine huwa tunapenda
kujiuliza;hivi ni lini tena itatokea tuwaone mafahari hawa wa muziki wa
dansi nchini Tanzania wakipanda tena jukwaa kwa pamoja na kutoa burudani
kama waliyokuwa wakiitoa enzi zile?Mitengano na mifarakano miongoni mwa
bendi na wanamuziki nchini Tanzania ndio maendeleo au
maende-jana?Pichani kutoka kushoto ni Khadija Mnoga(Kimobitel),Ali Choki
“Mzee wa Farasi”,Banza “Stone” Masanja na Muumini Mwinjuma “Kocha wa
Dunia”.Ziko wapi enzi zile?
Comments