HIVI HAWA IPO SIKU WATAKUWA PAMOJA TENA?

iki
Mara nyingine huwa tunapenda kujiuliza;hivi ni lini tena itatokea tuwaone mafahari hawa wa muziki wa dansi nchini Tanzania wakipanda tena jukwaa kwa pamoja na kutoa burudani kama waliyokuwa wakiitoa enzi zile?Mitengano na mifarakano miongoni mwa bendi na wanamuziki nchini Tanzania ndio maendeleo au maende-jana?Pichani kutoka kushoto ni Khadija Mnoga(Kimobitel),Ali Choki “Mzee wa Farasi”,Banza “Stone” Masanja na Muumini Mwinjuma “Kocha wa Dunia”.Ziko wapi enzi zile?

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.